Afisa Hesabu II (3 Posts) – JSC
Qualification and Experience
Holder of Diploma / FTC in one of the following fields: Diploma in Secretarial Studies and Administration or equivalent qualifications from a recognized Institution with 0 years of work experience and minimum age of 18 and maximum age of 45
Duties and Responsibilities
- Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
- Kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanazoweza kushughulikiwa;
- Kutunza taarifa, kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao safari za mkuu wake na ratiba ya kazi zingine;
- Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;
- Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa walio katika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
- Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;
- Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
More Details:
For further details just visit JSC official website to read full Swahili-details in PDF plus other requerements that not listed here. All Applications are done through their portal.
